dulahots.blogspot.com ni blog inayokuhabarisha habari zote za kimichezo,burudani na magazeti Karibuni🙏👇
dulahots.blogspot.com
▼
29.9.17
Rav 4 ya Hamisa mobetoyazua balaa
Mrembo aliyezaa na Mbongo Fleva, Hamisa Mobeto
BADO mrembo aliyezaa na Mbongo Fleva, Hamisa Mobeto ameendelea kutengeneza vichwa vya habari, safari hii, gari lake aina ya Toyota Rav 4 alilopewa na msanii huyo, linadaiwa kuibua zengwe kwa kile kinachoelezwa kuwa ilikuwa msanii huyo ampe mama’ke, akabadilisha maamuzi ghafla na k
Msukuma ajiandaa kumlipua RPC
BUNGE WA GEITA VIJIJINI (CCM), JOSEPHAT KASHEKU MUSUKUMA.




























