Chibuuu diiii,chibuuu deee,diamond platnum amezidi kuidhihirishia dunia kuwa yeye ni msanii anayezikonga
nyoyoo za watu wengi,hii ni pale alipojichukulia tuzo nchini marekani,njee na tuzo diamond alipata nafasi ya kutubuizaa katika jukwa hilo,alichokifanya nguli huyu wa muziki wa kizazi kipyaa Fanya kukiangalia hapo chini maana aliamua kuhama na kijiji chake dulahots.blogspot.com
dulahots.blogspot.com ni blog inayokuhabarisha habari zote za kimichezo,burudani na magazeti Karibuni🙏👇
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Kocha boraa Mara nne mfululizoooo EPL gurdiola
@dullahots.blogspot.com Kocha wa Manchester City, Pep Guardiola ameweka rekodi ya kuwa kocha wa kwanza kutwaa tuzo ya kocha bo...
-
Msimbazi speedi ya 4G+ MSHAMBULIAJI Mganda, Emmanuel Arnold Okwi leo amefunga mabao mawili na kuseti mawili, Simba SC ikiibuka na us...
-
Kichupaa kipyaa toka wcb, rayvan ft Niki wa pili "SIRI" ni Nouma sanaaa Fanya kuicheki hapo chini @dullahots.blogspot.com
-
dulahots. blogspot.com ZANZIBAR imepoteza mchezo wake wa mwisho wa Kundi A Kombe la Mataifa ya Afrika Mashariki na Kati, CECAFA Chall...


No comments:
Post a Comment