The boss lady zari hassan kafunguka na kusema kwamba ni maneno tu yamitandaoni yeye bado anampenda mumewe na mumewe anampenda pia amesema kuwa anauheshimu sana mkataba wao wa ndoa kwahiyo sio rahisi wao kuachana kama watu wanavyosema
dulahots.blogspot.com ,pia zari alijibu kwa nn hakumpost diamond cku ya kuzaliwa kwa msanii huyo nguli hapa duniani akasema kwamba anataka kuyahamisha maisha yao kutoka mtandaoni na kuyapeleka katika uhalisia wa maisha ya kawaida,zari akazidi kusema kwamba alimpigia simu mumewe na akamwishi heri ya kuzaliwa
Sources dulahots. Blogspot.com
https://youtu.be/MedwtUxdfxM
dulahots.blogspot.com ni blog inayokuhabarisha habari zote za kimichezo,burudani na magazeti Karibuni🙏👇
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Kocha boraa Mara nne mfululizoooo EPL gurdiola
@dullahots.blogspot.com Kocha wa Manchester City, Pep Guardiola ameweka rekodi ya kuwa kocha wa kwanza kutwaa tuzo ya kocha bo...
-
Msimbazi speedi ya 4G+ MSHAMBULIAJI Mganda, Emmanuel Arnold Okwi leo amefunga mabao mawili na kuseti mawili, Simba SC ikiibuka na us...
-
Kichupaa kipyaa toka wcb, rayvan ft Niki wa pili "SIRI" ni Nouma sanaaa Fanya kuicheki hapo chini @dullahots.blogspot.com
-
dulahots. blogspot.com ZANZIBAR imepoteza mchezo wake wa mwisho wa Kundi A Kombe la Mataifa ya Afrika Mashariki na Kati, CECAFA Chall...


No comments:
Post a Comment