Magazeti ya Leo tarehe 28/7/2017dulahots.blogspot.com
dulahots.blogspot.com ni blog inayokuhabarisha habari zote za kimichezo,burudani na magazeti Karibuni🙏👇
27.9.17
Matandao wa wassap wafungiwa china
Kwa zaidi ya wiki moja sasa huduma ya mtandao ya WhatsApp imefungwa na serikali ya China ikielezwa kuwa ni kwaajili ya kuimarisha usalama kabla ya kufanyika kwa mkutano wa chama cha Kikomunisti mwezi ujao.
Imeelezwa kuwa wakati mwingine, mawasiliano hayo ya WhatsApp yamekuwa yanapatikana kupitia mtandao binafsi wa VPN ambao unasimamia mitandao ya China pekee.
Pia imeelezwa kuwa mwezi Julai viliwekwa vikwazo vya watumiaji wa mtandao huo kutuma picha hata video kwa watu wengine wa China. WhatsApp inaripotiwa kuwa huduma pekee ya mtandao iliyokubalika na serikali hiyo kuwanchini humo.
Subscribe to:
Posts (Atom)
Kocha boraa Mara nne mfululizoooo EPL gurdiola
@dullahots.blogspot.com Kocha wa Manchester City, Pep Guardiola ameweka rekodi ya kuwa kocha wa kwanza kutwaa tuzo ya kocha bo...

-
Msimbazi speedi ya 4G+ MSHAMBULIAJI Mganda, Emmanuel Arnold Okwi leo amefunga mabao mawili na kuseti mawili, Simba SC ikiibuka na us...
-
Rav 4 ya Hamisa Mobeto yazua balaa Mrembo aliyezaa na Mbongo Fleva, Hamisa Mobeto BADO mrembo aliyezaa na Mbongo Fleva, Hamisa Mobeto...
-
Www.dulahots.blogspot.com Mchezaji wa clabu ya Liverpool Mohammed salaah aibukaa kidedea baada ya kushinda tuzo ya BBC ya mchezaji bora a...