Powered By Blogger

9.10.17

Magazeti ya Leo tarehe 10/10/2017

 dulahots.blogspot.com























dulahots.blogspot.com

Video: patorankig chekecha cover coke studio

Super star kutoka Nigeria patorankig chekecha cover coke studio unaambiwa kichaa

Video: alikiba my women my every thing coke studio

King kibaa alichokifanya Coke studio nyimbo inaitwaa my women my every thing ni cover ya patorankig

Video: Alikiba ft patorankig coke studio nyimbo inaitwa "katika"

Utaanaje labda kuikosa  coke studio msimuu huu 2017 pale ambapo akali cha pasua  kichwaaa mzee wa majisifaa Ali kibaaa akiamsha popo live percomance katika coke studio akiwa pamoja na msanii super staa wa Nigeria patorankig nakila mmoja wao  kufanya cover moja ya nyimbo ya mwenzake

Diamond platnum live parfomance in Afrimm

Chibuuu diiii,chibuuu deee,diamond platnum amezidi kuidhihirishia dunia kuwa yeye ni msanii anayezikonga

Lema amvimbia IGP Siro


 Baada ya IGP Simon Sirro kutoa tamko la kusitisha mjadala juu ya shambulio la Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu na badala yake viache vyombo vya usalama viendelee kufanya kazi hiyo, Mbunge wa Arusha Mjini amejibu kauli hiyo kwa kuipinga na kumuahidi kuwa wataendelea na

SAMATA EPL PANUKIA


Mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania Mbwana Ally Samatta amesema kuna uwezekano mkubwa wa kujiunga na moja ya vilabu vya ligi kuu ya soka nchini England EPL msimu ujao

Diamond platnum apata tuzo marekani(U.S.A)

Tuzo za African Muziki Magazine Awards maarufu kama (AFRIMMA) zilifanyika usiku wa October 8,2017 nchini Marekani, Texas Dallas na kama utakuwa unakumbuka vizuri kuna wasanii mbalimbali wa Tanzania waliyokuwa wametajwa kuwania tuzo za AFRIMMA 2017 akiwemo muimbaji Diamond Platnumz

Neno LA didier Drogba kwa salah

Mchezaji wa ivory cost didier drogba amemshushia pongezi nyingi  winga wa Liverpool na misir Mohammed

Video: Mayunga 'NAWEZEKA"

Ni kwa mara nyingine tena mayunga anaachia kichupaaa kipyaaaa chini ya mukk national  video ikisimamiwa kwetu studio fanya kuicheki hapo chini dulahots.blogspot.com

Video :ZAidii nyimbo inaitwaa 'WOWOWO'

Ni kichupaaa kikalii  chini director mtu mbaya icheki hapa chinidulahots.blogspot.com

Magazeti ya Leo tarehe 9/10/2017

dulahots.blogspot.com














Kocha boraa Mara nne mfululizoooo EPL gurdiola

         @dullahots.blogspot.com Kocha wa Manchester City, Pep Guardiola ameweka rekodi ya kuwa kocha wa kwanza kutwaa tuzo ya kocha bo...