Powered By Blogger

9.10.17

Neno LA didier Drogba kwa salah

Mchezaji wa ivory cost didier drogba amemshushia pongezi nyingi  winga wa Liverpool na misir Mohammed
dulahots.blogspot.comsalah baada ya kuifungia goli timu yake  ya taifa ya missri mchezo huwo uliofanyika  Jana usiku dhidi ya DR Congo,misri imeungana na Nigeria katika timu ambazo zimefuzu kombe la  dunia 2018 urusi
Misri kufuzu kombe la  dunia imekuwa ni Mara ya kwanza tangu  ifuzu mwaka 1990 ambayo  hata Mohammed salah mwenyewe hakuwa amezaliwa bado ,misri iliyokuwa  kundi E imefikisha alama  12 na imefanikiwa kufuzu kombe la  dunia.

Source dulahots

No comments:

Post a Comment

Kocha boraa Mara nne mfululizoooo EPL gurdiola

         @dullahots.blogspot.com Kocha wa Manchester City, Pep Guardiola ameweka rekodi ya kuwa kocha wa kwanza kutwaa tuzo ya kocha bo...