Jay moe adondoshaaa kichupa kipyaa kinaitwa "BABA" Fanya kukicheki hapa chini
dulahots.blogspot.com ni blog inayokuhabarisha habari zote za kimichezo,burudani na magazeti Karibuni🙏👇
13.12.17
Simba sport club watamenyana vikali na Djibouti kombe la shirikisho la CAF
dulahots.blogspot.com
Ratiba ya Kombe la Shirikisho Afrika imetoka na Simba imepata bahati ya kupangwa na timu laini au kibonde kutoka Djibouti.
Simba imepangwa kuanza Gendamarie, timu ambayo imekuwa ni moja ya vibonde katika michuano ya Kagame ambayo ni maalum kwa ukanda wa Afrika Mashariki na Kati.
Pamoja na kuanza na kibonde, Simba itatakiwa kujipanga kwelikweli kama itafanikiwa kusonga mbele katika hatua hiyo.
Hatua inayofuata inaonyesha itakuwa ngumu kwa kuwa Simba ikisonga mbele itakutana na timu ya Zambia au Misri.
El Masry ya Misri itakutana na Green Buffaloes ya Zambia na mshindi wa hapo atakutana na mshindi kati ya Simba dhidi ya Gendamarie.
Simba imepangwa kuanza Gendamarie, timu ambayo imekuwa ni moja ya vibonde katika michuano ya Kagame ambayo ni maalum kwa ukanda wa Afrika Mashariki na Kati.
Pamoja na kuanza na kibonde, Simba itatakiwa kujipanga kwelikweli kama itafanikiwa kusonga mbele katika hatua hiyo.
Hatua inayofuata inaonyesha itakuwa ngumu kwa kuwa Simba ikisonga mbele itakutana na timu ya Zambia au Misri.
El Masry ya Misri itakutana na Green Buffaloes ya Zambia na mshindi wa hapo atakutana na mshindi kati ya Simba dhidi ya Gendamarie.
Yanga vs shelisheli ligi mabingwaa
dulahots. blogspot.com
Unaweza kusema ratiba ya mwanzo ya Ligi ya Mabingwa Afrika si ngumu kwa Yanga.
Shirikisho la Soka Afrika (Caf), limeipangia Yanga kuanza na St Louis ya Shelisheli, timu ambayo hauwezi kusema ni mlima mrefu kwa kwa Yanga.
Ingawa Yanga watapaswa kuwa makini kwa kuwa ni soka na soka la Shelisheli limekuwa likipanda, lakini haiwezi kuwa kazi itakayowashinda wakiamua “lazima” wasonge mbele.
Iwapo Yanga itasonga mbele katika hatua hiyo baada ya kufanya vizuri katika mechi mbili dhidi ya St Loius, inatarajia kukutana na mshindi kati ya El Merreikh ya Sudan au Township Rollers ya Botswana.
Shirikisho la Soka Afrika (Caf), limeipangia Yanga kuanza na St Louis ya Shelisheli, timu ambayo hauwezi kusema ni mlima mrefu kwa kwa Yanga.
Ingawa Yanga watapaswa kuwa makini kwa kuwa ni soka na soka la Shelisheli limekuwa likipanda, lakini haiwezi kuwa kazi itakayowashinda wakiamua “lazima” wasonge mbele.
Iwapo Yanga itasonga mbele katika hatua hiyo baada ya kufanya vizuri katika mechi mbili dhidi ya St Loius, inatarajia kukutana na mshindi kati ya El Merreikh ya Sudan au Township Rollers ya Botswana.
Conteee atengua kauli yakee
dulahots.blogspot. com
Meneja wa klabu ya Chelsea Antonio Conte ametetea tamko lake kwamba Chelsea hawana matumaini ya kushinda Ligi Kuu ya England msimu huu.
Amesema hayo hata baada ya Chelsea kujikwamua kutoka kwa kichapo mikononi mwa West Ham na kulaza Huddersfield Town 3-1 Jumanne.
Ushindi wao uliwafanya kutoshana kwa alama na Manchester United walio nafasi ya pili ingawa wako nyuma kwa mabao.
Mabao ya Chelsea yalifungwa na Tiemoue Bakayoko, Willian na Pedro.
Chelsea bado wamo alama 11 nyuma ya viongozi Manchester City, pengo ambalo Conte anaamini haliwezi kuzibwa.
"Lazima ukubali uhalisia. Napendelea kusema ukweli badala ya kusema uongo," alisema Conte baada ya mechi ya jana.
"Wakati mwingine naweza kuwa muwazi kupita kiasi lakini huwa napenda kuzungumza kwa uwazi na wachezaji wangu na mashabiki wetu. Haimaanishi kwamba tumeacha kujaribu kuwafikia (City).
"Njia yetu ni njia nzuri, lakini kwa kweli kuna timu ambayo ipo mbele yetu. Ni vigumu sana, sasa, kuwazuia."
Chelsea kwenye mechi hiyo pia walimchezesha kinda wa miaka 17, Ethan Ampadu, kama nguvu mpya, mara yake ya kwanza kuchezeshwa kwenye timu kubwa, mechi ikiwa imesalia dakika kumi.
Aliibuka mchezaji wa pili mdogo zaidi kwa umri kuchezeshwa Ligi ya Premia na Chelsea baada ya Jody Morris mwaka 1996.
Huddersfield watakutana na Watford ugenini Jumamosi, nao Chelsea wawe nyumbani dhidi ya Southampton siku hiyo Ligi ya Premia.
Amesema hayo hata baada ya Chelsea kujikwamua kutoka kwa kichapo mikononi mwa West Ham na kulaza Huddersfield Town 3-1 Jumanne.
Ushindi wao uliwafanya kutoshana kwa alama na Manchester United walio nafasi ya pili ingawa wako nyuma kwa mabao.
Mabao ya Chelsea yalifungwa na Tiemoue Bakayoko, Willian na Pedro.
Chelsea bado wamo alama 11 nyuma ya viongozi Manchester City, pengo ambalo Conte anaamini haliwezi kuzibwa.
"Lazima ukubali uhalisia. Napendelea kusema ukweli badala ya kusema uongo," alisema Conte baada ya mechi ya jana.
"Wakati mwingine naweza kuwa muwazi kupita kiasi lakini huwa napenda kuzungumza kwa uwazi na wachezaji wangu na mashabiki wetu. Haimaanishi kwamba tumeacha kujaribu kuwafikia (City).
"Njia yetu ni njia nzuri, lakini kwa kweli kuna timu ambayo ipo mbele yetu. Ni vigumu sana, sasa, kuwazuia."
Chelsea kwenye mechi hiyo pia walimchezesha kinda wa miaka 17, Ethan Ampadu, kama nguvu mpya, mara yake ya kwanza kuchezeshwa kwenye timu kubwa, mechi ikiwa imesalia dakika kumi.
Aliibuka mchezaji wa pili mdogo zaidi kwa umri kuchezeshwa Ligi ya Premia na Chelsea baada ya Jody Morris mwaka 1996.
Huddersfield watakutana na Watford ugenini Jumamosi, nao Chelsea wawe nyumbani dhidi ya Southampton siku hiyo Ligi ya Premia.
Subscribe to:
Posts (Atom)
Kocha boraa Mara nne mfululizoooo EPL gurdiola
@dullahots.blogspot.com Kocha wa Manchester City, Pep Guardiola ameweka rekodi ya kuwa kocha wa kwanza kutwaa tuzo ya kocha bo...

-
Msimbazi speedi ya 4G+ MSHAMBULIAJI Mganda, Emmanuel Arnold Okwi leo amefunga mabao mawili na kuseti mawili, Simba SC ikiibuka na us...
-
Rav 4 ya Hamisa Mobeto yazua balaa Mrembo aliyezaa na Mbongo Fleva, Hamisa Mobeto BADO mrembo aliyezaa na Mbongo Fleva, Hamisa Mobeto...
-
Www.dulahots.blogspot.com Mchezaji wa clabu ya Liverpool Mohammed salaah aibukaa kidedea baada ya kushinda tuzo ya BBC ya mchezaji bora a...