Powered By Blogger

25.9.17

Video :"Mbakaji anaangalia saikolojia ya mtoto" tibaijuka


Leo September 25, 2017 yamefanyika mahafali ya 15 ya kidato cha nne katika shule mfano ya sekondari ya wasichana ya Barbro Johansson.

Exclusive:manji live kisutu





Aliyekuwa Mwenyekiti wa Yanga, Yusuph Manji, leo Jumatatu anatarajiwa kuwapeleka mashahidi wake katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kwa ajili ya kutoa utetezi wa kesi inayomkabili ya utumiaji wa madawa ya kulevya.

Kocha boraa Mara nne mfululizoooo EPL gurdiola

         @dullahots.blogspot.com Kocha wa Manchester City, Pep Guardiola ameweka rekodi ya kuwa kocha wa kwanza kutwaa tuzo ya kocha bo...