Powered By Blogger

1.10.17

Magazeti ya Leo tarehe 2/10/2017


dulahots.blogspot.com


















UTAFITI:kukaa na njaa kunapelekea nywele kukuwa kwa haraka


Kwa mujibu wa taarifa zilizotolewa na kitengo cha utafiti cha wanasayansi nchini Brazil EurekAlert, kukaa na njaa  kunapelekea nywele

Niyonzima mashabiki zangu mtafurahi tu



Kiungo wa Wekundu wa Msimbazi Haruna Niyonzima amewaomba mashabiki wa Simba waendelee kumuombea dua ili aweze kurudi katika ubora wake

Wazee wa chadema wamuomba Rais magufuli kuongea na wao



Wakati leo Jumapili dunia ikiadhimisha siku ya wazee, Baraza la Wazee wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) limemwomba Rais John Magufuli kukutana na wazee nchini ili kujadiliana na kupata ufumbuzi wa masuala mbalimbali. 

Ney wa Mitego mm sinaga tofauti na Juma nature nikiwa jukwaani



Msanii Ney Wa Mitego, amefunguka na kusema kuwa yeye ni msanii ambaye anafanana na mkongwe Juma Nature kwa kupata mapokeo makubwa pamoja na kushangiliwa zaidi wakati akiwa jukwaani

Simba kuongoza VPL Baada ya kuicharaza Stand united 2-1


Stand United wameiruhusu Simba iongoze ligi kuu Tanzania bara baada ya kuchapwa 2-1 kwenye uwanja wao wa CCM Kambarage mkoani Shinyanga

KANYE WEST KUPATA MTOTO WA TATU(3)


Kim Kardashian West na mumewe Kanye West wamethibitisha kwamba watapata mtoto mwengine kutoka kwa mama anayebeba mimba kwa niaba yao

Polepole Chadema ruksa kufanya mikutano Ikulu



Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) pamoja na vyama vingine vyote vya upinzani nchini vimekaribishwa Ikulu kwenda kufanya mikutano yao kama vinataka

Alichokisema Diamond baada ya 'Hallelujah' kufikisha views milioni moja Ndani ya masaa 15

Hallelujuh ndio habari  ya mujinii unaambiwaa

“Nyota njema huonekana asubuhi,” hilo limeanza kuonekana katika wimbo mpya wa Diamond, Hallelujah

Kocha boraa Mara nne mfululizoooo EPL gurdiola

         @dullahots.blogspot.com Kocha wa Manchester City, Pep Guardiola ameweka rekodi ya kuwa kocha wa kwanza kutwaa tuzo ya kocha bo...