Powered By Blogger

7.10.17

Video: Z anto 'kacheze unapochezaga'

Kichupa kipyaa z anto   video umesimawa na mtu  mbaya travel msafiri mwenyewe its so amazing
Msanii mkongwe wa muzik nchinii, Z Anto ameachia video ya wimbo wake mpya 'Kacheze Unapochezaga' chini ya label

Nataka Barcelona iondolewe ligi ya mabingwa NEYMAR



MSHAMBULIAJI Mbrazil, Neymar ameitaka UEFA kuifungia Barcelona kwenye Ligi ya Mabingwa Ulaya baada ya kugoma kumlipa posho yake Pauni Milioni 23 kwa mujibu wa

Magazeti ya Leo tarehe 8/10/2017






























dulahots.blogspot.com

Taifa star yatoka sare 1-1 na malawi



TIMU ya taifa ya Malawi imeshindwa kuifunga Tanzania iliyocheza pungufu ya wachezaji wawili, baada ya viungo wake, Erasto Nyoni na Muzamil Yassin kutolewa kwa kadi nyekundu kipindi cha pili

Okwii aizunga yanga

Emmanuel Okwi wa Simba

MKALI wa mabao wa Ligi Kuu Bara, Emmanuel Okwi wa Simba, ameizuga Yanga kwa kusema kwa sasa anaiwaza zaidi mechi yao ijayo dhidi ya Mtibwa Sugar kuliko mchezo wao na Yanga

Hispania yaweka rekodi hii


Madrid, Hispania. Mabingwa wa Kombe la Dunia 2010, Hispania wamefuzu kwa mara 11 mfululizo kwa fainali za mwakani

Barcelona yamfunga maisha Iniesta


MADRID, Hispania. Kiungo Andres Iniesta amekuwa mchezaji wa kwanza kusaini mkataba wa maisha wa kuichezea Barcelona, mkataba huo utamfanya acheze klabu hapo wakati wote atakapokuwa fiti

Kocha boraa Mara nne mfululizoooo EPL gurdiola

         @dullahots.blogspot.com Kocha wa Manchester City, Pep Guardiola ameweka rekodi ya kuwa kocha wa kwanza kutwaa tuzo ya kocha bo...