Powered By Blogger

4.10.17

VIDEO:DIAMOND ALIVYOIKATA KEKI NA KUWALISHA MASTAA WENZAKE KATIKA BIRTH DAY PARTY YAKE

dulahots.blogspot.com
Unaambiwa simba akiunguruma kijifungia ndani ni jambo la  lazima icheki video jinsi simbaa   alivyokonga nyonyo za watu wengi Fanya kugusa hayo maneno hapo mbele kisha ingia ktk hiyo link itakayoonekana👉 chini



Video : Aslay #NATAMBA

Kichupa kipyaa cha msanii aslay natamba video ikiwa chini ya director mbabe Hascana Fanya kuicheki hapo chini

Magazeti ya Leo tarehe 5/10/2017
























dulahots.blogspot.com

Kuku avishwaa sanda geitaaaaa unaambiwa ni shughuli kweli kweli



Kamanda wa Polisi mkoa wa Geita RPC Mponjoli Mwabulambo amethibitisha kuwepo kwa matukio ya vitendo vya ushirikina katika Kata ya Buhalahala iliyopo

Mahakama yakwama kutoa uamuzii kesi ya wema sepetu


Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imekwama kutoa uamuzi wa ama kupokea au kutopokea kielelezo cha hati ya ukamataji mali nyumbani kwa Wema Sepetu katika kesi ya kutumia dawa za kulevya kwa sababu Hakimu hajamaliza kuandaa uamuzi

Nay wa Mitego afunguka athari za ugomvi wa diamond na Ali kiba


Msanii Nay wa Mitego amesema ugomvi wa Diamond ana Alikiba haujaathiri wimbo wake hata mmoja

Gigy money Adai ngoma yake ya 'papa' ni Kali kuzidi seduce me


Video Vixen na Msanii Muziki Bongo, Gigy Money amedai kuwa ngoma yake Papa ni nzuri kuzidi ngoma ya Alikiba Seduce Me.

Hii ndio Top 5 ya mastaa wa muziki Afrika wenye followers wengii Instagram

Davido

 Msanii kutokea nchini Nigeria David Adedeji Adeleke maarufu kama Davido aliyetamba na ngoma yake ya “Fall” iliyofanya vizuri Afrika na Duniani kwa ujumla, Davido ndio msanii mwenye mashabiki wengi kwenye mtandao wa instagram (Milioni 5) katika

Arsene Weng apatwa na hofu kuhusu Barcelona kuhamia Epl


Masuala ya kisiasa yanayoendelea nchini Hispania tayari yameleta habari nyingi za kisoka, lakini kubwa ni uwezekano wa vilabu vya Catalunya kuhamia katika ligi zingine

Mwanaume kuoga mwisho Mara mbili:Roma


STAA namba moja katika Hip Hop kwa sasa nchini, anayetamba na kibao na video yake ya Zimbabwe, Ibrahimu Musa a.k.a Roma Mkatoliki, amesema licha ya usafi kuwa ni muhimu, lakini mtoto wa kiume anastahili kuoga angalau mara mbili tu kwa siku.

Huu ndio uamuzi wa simba



Benchi la ufundi la Simba limefunguka kuwa baada ya kukwaa kukaa kileleni mwa msimamo wa ligi kwa sasa hawatakubali kung’oka kwenye nafasi hiyo hadi mwisho wa ligi ambapo watatwaa ubingwa kwa

Kocha boraa Mara nne mfululizoooo EPL gurdiola

         @dullahots.blogspot.com Kocha wa Manchester City, Pep Guardiola ameweka rekodi ya kuwa kocha wa kwanza kutwaa tuzo ya kocha bo...