Powered By Blogger

29.9.17

MAGAZETI YA LEO TAREHE 30/9/2017























dulahots.blogspot.com

Serikali ya Tanzania kuwapatia ulinzii wabunge


SERIKALI imetangaza kuanza mchakato wa kuwapatia ulinzi wabunge nchini ikiwa ni wiki tatu tangu mwakilishi wa wananchi wa Singida Mashariki (Chadema), Tundu Lissu kunusurika kifo baada ya kupigwa risasi tano mwilini na miguuni na watu wasiojulikana

Tshishimbi,Kamusoko wamtia hofu Lwandamina



Inachopiga hesabu Yanga ni kuwavaa Mtibwa

Rav 4 ya Hamisa mobetoyazua balaa


Mrembo aliyezaa na Mbongo Fleva, Hamisa Mobeto 

BADO mrembo aliyezaa na Mbongo Fleva, Hamisa Mobeto ameendelea kutengeneza vichwa vya habari, safari hii, gari lake aina ya Toyota Rav 4 alilopewa na msanii huyo, linadaiwa kuibua zengwe kwa kile kinachoelezwa kuwa ilikuwa msanii huyo ampe mama’ke, akabadilisha maamuzi ghafla na k

Joseph Omog hakuna kocha duniani aliyekuwa mahali salama


MKUU WA SIMBA, JOSEPH OMOG.

WAKATI wanatarajia kutua Shinyanga leo kwa ajili ya mechi dhidi ya wenyeji wao Stand United itakayofanyika keshokutwa, Kocha Mkuu wa Simba, Joseph Omog, amesema kuwa hakuna kocha wa soka ambaye yuko "mahali salama" duniani

Meya wa chadema matatani


MEYA wa Ubungo, Boniface Jacob (Chadema), amehojiwa kwa saa tatu na Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma, kwa madai ya kutumia ofisi za umma kufanya vikao v

Msukuma ajiandaa kumlipua RPC

BUNGE WA GEITA VIJIJINI (CCM), JOSEPHAT KASHEKU MUSUKUMA.

MBUNGE wa Geita Vijijini (CCM), Josephat Kasheku Musukuma, anajiandaa kuanika siri za Kamanda wa Polisi Mkoa wa Geita, Lotson Mponjoli baada ya kushindwa kutimiza sharti lake la kumwomba radhi kutokana na madai ya kumdhalilisha

Kocha boraa Mara nne mfululizoooo EPL gurdiola

         @dullahots.blogspot.com Kocha wa Manchester City, Pep Guardiola ameweka rekodi ya kuwa kocha wa kwanza kutwaa tuzo ya kocha bo...