Pata kusoma nakala zote za magazeti yote,kusoma magazeti bonyeza hiyo link hapo chini
#www.dulahots.blogspot.com
dulahots.blogspot.com ni blog inayokuhabarisha habari zote za kimichezo,burudani na magazeti Karibuni🙏👇
30.9.17
Mbinu 29 za kuishi vizuri na watu/binadamu(wananzengo)
Mojawapo ya mambo muhimu katika mafanikio ya aina yoyote maishani ni kupata msaada wa aina Fulani kutoka kwa watu wengine. Mtu hawezi kufanikiwa bila msaada wa watu,kwa maana hakuna mtu anayejua kila kitu/jambo na anayeweza kufanya kila kitu Duniani.
Kwa namna yeyote ile mtu anahitaji msaada wa wengine. Hivyo ili kupata msaada wa wengine ni lazima kujua namna ya kuishi na watu vizuri.Ingawa siyo rahisi kumpendeza kila mtu, lakini watu wengi utaishi nao kwa amani.
Zifuatazo ni KANUNI na MBINU mhimu za kuishi na watu vizuri
Kwa namna yeyote ile mtu anahitaji msaada wa wengine. Hivyo ili kupata msaada wa wengine ni lazima kujua namna ya kuishi na watu vizuri.Ingawa siyo rahisi kumpendeza kila mtu, lakini watu wengi utaishi nao kwa amani.
Zifuatazo ni KANUNI na MBINU mhimu za kuishi na watu vizuri
IFAHAMU MISINGI HII YA KUILEA NDOTO YAKO ILI UWEZE KUFANIKIWA
Katika ulimwengu huu wa teknolojia kila mmoja wetu ana ndoto yake, na kila miongoni mwetu anatamani siku moja ndoto iwe kweli. Ila changamoto kubwa huwa inakuja ni kwa jinsi gani unaiweza kuifanya ndoto hiyo kuwa kweli. Wengi wetu ndoto zetu ni za mdomoni tu, huwa hazina uhalisia wa jinsi ya kuzikamilisha ndoto hizo
MECHI ZITAKAZO PIGWA WEAKENED HII VPL

Subscribe to:
Posts (Atom)
Kocha boraa Mara nne mfululizoooo EPL gurdiola
@dullahots.blogspot.com Kocha wa Manchester City, Pep Guardiola ameweka rekodi ya kuwa kocha wa kwanza kutwaa tuzo ya kocha bo...

-
Msimbazi speedi ya 4G+ MSHAMBULIAJI Mganda, Emmanuel Arnold Okwi leo amefunga mabao mawili na kuseti mawili, Simba SC ikiibuka na us...
-
Rav 4 ya Hamisa Mobeto yazua balaa Mrembo aliyezaa na Mbongo Fleva, Hamisa Mobeto BADO mrembo aliyezaa na Mbongo Fleva, Hamisa Mobeto...
-
Www.dulahots.blogspot.com Mchezaji wa clabu ya Liverpool Mohammed salaah aibukaa kidedea baada ya kushinda tuzo ya BBC ya mchezaji bora a...