Powered By Blogger

30.9.17

Magazeti ya Leo tarehe 1/10/2017

 Pata kusoma nakala zote za magazeti yote,kusoma magazeti bonyeza hiyo link hapo chini
#www.dulahots.blogspot.com

Mbinu 29 za kuishi vizuri na watu/binadamu(wananzengo)


Mojawapo ya mambo muhimu katika mafanikio ya aina yoyote maishani ni kupata msaada wa aina Fulani kutoka kwa watu wengine. Mtu hawezi kufanikiwa bila msaada wa watu,kwa maana hakuna mtu anayejua kila kitu/jambo na anayeweza kufanya kila kitu Duniani. 

 Kwa namna yeyote ile mtu anahitaji msaada wa wengine. Hivyo ili kupata msaada wa wengine ni lazima kujua namna ya kuishi na watu vizuri.Ingawa siyo rahisi kumpendeza kila mtu, lakini watu wengi utaishi nao kwa amani. 

Zifuatazo ni KANUNI na MBINU mhimu za kuishi na watu vizuri

IFAHAMU MISINGI HII YA KUILEA NDOTO YAKO ILI UWEZE KUFANIKIWA


Katika ulimwengu huu wa teknolojia kila mmoja wetu ana ndoto yake, na kila miongoni mwetu anatamani siku moja ndoto iwe kweli. Ila changamoto kubwa huwa inakuja ni kwa jinsi gani unaiweza kuifanya ndoto hiyo kuwa kweli. Wengi wetu ndoto zetu ni za mdomoni tu, huwa hazina uhalisia wa jinsi ya kuzikamilisha ndoto hizo

Jiandaeni na kichupa kipyaa Ali kiba


Msanii Alikiba ameweka wazi mipango ya mkongwe wa muziki Abby Skillz, kuwa muda si mrefu atakuja na ngoma yake mpya baada ya ngoma yake ya 'Averina' ambayo alikuwa ameshirikishwa yeye pamoja na Mr Blue ambayo ilitoka mwaka jana

Kocha Mpya wa Bayern aanza na Vidal

Kocha wa muda wa Bayern Munich, Willy Sagnol anayeishikilia timu hiyo baada ya kuondoka kwa Mtaliano Carlo Ancelotti aliyefukuzwa juzi, akizungumza na kiungo Arturo Vidal, ambaye msimu huu ameonyeshwa kadi za njano tano.

Man united yaicharaza crystal palace magoli 4 kwa nungeee


Klabu ya Manchester United imeonyesha mchezo mzuri na kuweza kuicharaza Crystal Palace 4-0 na hivyobasi kuilazimu klabu hiyo kupoteza mechi yake ya saba msimu huu bila kufunga

Quick Rocka aipigia saluti kichupa ya mzee baba mond Hallelujah



Msanii wa muziki Bongo, Quick Rocka ametoa pongezi za kutosha kwa Diamond kufikisha kwa kufikisha views milioni moja ndani saa 15 katika mtndao wa YouTube

Aguero kavunjika mbavuu baada ya ajali,atakaa nje ya uwanja wiki nne


MSHAMBULIAJI Sergio Aguero anahitaji angalau wiki nne za mapumziko baada ya kuvunjika mbavu katika ajali ya gari usiku wa juzi mjini Amsterdam. 

MECHI ZITAKAZO PIGWA WEAKENED HII VPL

dulahots.blogspot.comUnaambiwa Leo mtoto hatumwii sokoni kazi  juu ya kazi VPL inaendelea Leo tupa karata yako mapemaaaa

Kila mechi kwetu ni fainali Mbaraka Yusuph afunguka


Mshambuliaji tegemeo wa Azam FC, Mbaraka Yussuf

Mshambuliaji tegemeo wa Azam FC, Mbaraka Yussuf amesema kila mchezo wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara kwao ni kama fainali

Nay wa Mitego awatolea povu wasanii wanaotumia ndumba(uchawi)


Msanii wa muziki Bongo, Nay wa Mitego amefunguka juu ya wasanii wanaotumia uchawi katika muziki wao.

Tabora waomba mechi ya kirafiki na vijana wa jagwani young African


KIKOSI CHA YANGA.

CHAMA cha soka mkoa wa Tabora (Tarefa)kimeanza mazungumzo na viongozi wa klabu ya Yanga kwa ajili ya kuangalia uwezekano wa timu hiyo kwenda kucheza mchezo mmoja wa kirafiki na moja ya timu ya mkoa huo

Kocha boraa Mara nne mfululizoooo EPL gurdiola

         @dullahots.blogspot.com Kocha wa Manchester City, Pep Guardiola ameweka rekodi ya kuwa kocha wa kwanza kutwaa tuzo ya kocha bo...