Powered By Blogger

30.9.17

Kocha Mpya wa Bayern aanza na Vidal

Kocha wa muda wa Bayern Munich, Willy Sagnol anayeishikilia timu hiyo baada ya kuondoka kwa Mtaliano Carlo Ancelotti aliyefukuzwa juzi, akizungumza na kiungo Arturo Vidal, ambaye msimu huu ameonyeshwa kadi za njano tano.

No comments:

Post a Comment

Kocha boraa Mara nne mfululizoooo EPL gurdiola

         @dullahots.blogspot.com Kocha wa Manchester City, Pep Guardiola ameweka rekodi ya kuwa kocha wa kwanza kutwaa tuzo ya kocha bo...