Powered By Blogger

5.10.17

Champion boy SAMATA MAGOLI AKIRI KUJIANDAA VIZURI

Captain champion boy SAMATA magoli akiri kujiandaa vyemaa kukabiliana na Malawi jumamosi hii,SAMATA
dulahots.blogspot.comakizungumza na mwanahabari wetu wa dulahots.blogspot.com SAMATA magoli alisema kwamba yeye amejiandaa vizuri na team zima kiujumla wamejiandaa vizuri kukabiliana na mchezo huwo siku ya Juma mosi hii, wachezaji wote  wa team ya taifa tayari wako katika mazoezi kujifua zaidi,mungu ibariki taifa  star mungu ibariki Tanzania

Source dulahots. blogspot.com.

No comments:

Post a Comment

Kocha boraa Mara nne mfululizoooo EPL gurdiola

         @dullahots.blogspot.com Kocha wa Manchester City, Pep Guardiola ameweka rekodi ya kuwa kocha wa kwanza kutwaa tuzo ya kocha bo...