Powered By Blogger

11.12.17

Mohammed salah ashinda tuzo ya mchezaji bora afrika mwaka huu

Www.dulahots.blogspot.com
Mchezaji wa  clabu ya Liverpool Mohammed salaah aibukaa kidedea baada ya kushinda tuzo ya BBC ya mchezaji bora afrika mwaka huu akiwabwaga wapinzani wake ambao walikuwa victor moses,aubameyang,mane na keita

1 comment:

Kocha boraa Mara nne mfululizoooo EPL gurdiola

         @dullahots.blogspot.com Kocha wa Manchester City, Pep Guardiola ameweka rekodi ya kuwa kocha wa kwanza kutwaa tuzo ya kocha bo...