Powered By Blogger

22.10.17

Mwalim ajiua kikatili

Ajiua kinyamaa kwa kujikata koo 
MWALIMU wa Shule ya Sekondari Mtenga iliyopo Kata ya Mtenga Wilaya ya Nkasi mkoani Rukwa, Leonard Mwipugi (29) amejiua kwa kujikata mwenyewe koromeo lake kwa kisu cha makali ya pande mbili

Kichapooo chaleta mtafaruku man u

Herrera kutokuelewana na kocha wake
Kwa mara ya kwanza hapo jana Manchester United walikubali kuchezea kichapo katika msimu huu, United wakiwa ugenini walikubali kipigo cha mabao 2 kwa 1 kutoka kwa timu iliyopanda daraja ya Huddersfield

Ajibuuuu kuzikonganishaaa simbaa na yangaa

October 28 mtoto hatumwii sokoni 4G+
Ibrahim Ajib ameendelea kuwasha moto akiwa na Yanga baada ya leo Jumapili October 22, 2017 kuifungia mabao mawili kwenye ushindi wa  4-0 dhidi ya Stand

21.10.17

Rais magufuli :uteuzi mpya

Rais magufuli afanya uteuzi mpyaaa
Rais John Magufuli, amemteua Janeth Masaburi  kuwa Mbunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Asali: ni kweli nilitoa mimba ya DULLAH makabila

Asali: akiri kutoa  mimba ya msanii wa singeli DULLAH makabila
Mrembo aliyejipatia umaarufu hivi karibuni kwa kuwa kwenye mahusiano ya kimapenzi na msanii Dulla Makabila anayejulikana kwa jina la Asali, amekiri kutoa ujauzito ambao alipewa na msanii huyo

Njombe mji yacharazwaa magoli 4-0 na msimbazi

Msimbazi speedi  ya 4G+
MSHAMBULIAJI Mganda, Emmanuel Arnold Okwi leo amefunga mabao mawili na kuseti mawili, Simba SC ikiibuka na ushindi wa 4-0 dhidi ya Njombe Mji katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara uliofanyika Uwanja wa Uhuru mjini Dar esalam

Kocha boraa Mara nne mfululizoooo EPL gurdiola

         @dullahots.blogspot.com Kocha wa Manchester City, Pep Guardiola ameweka rekodi ya kuwa kocha wa kwanza kutwaa tuzo ya kocha bo...