Powered By Blogger

3.10.17

Fid Q amkuna Wolper


STAA wa Filamu Bongo, Jacquline Wolper amefunguka kuwa msanii anayemkubali kwa sasa Bongo ni Fareed Kubanda ‘Fid Q’ na hiyo ni kutokana na utendaji wake mzuri wa kazi na nyimbo bora anazotoa
dulahots.blogspot.com. 

Akichonga na Uwazi Showbiz, Wolper alisema kuwa ameanza kumfuatilia Fid Q muda mrefu kiasi kwamba mpaka album zake zote anazo na hato acha kumfuatilia kwa sababu anaamini siku zote anafanya kazi bora. 

“Fid Q hajawahi kuniangusha, ni mwanamuziki bora na kila wimbo anaotoa ni wimbo bora kwangu kwa hiyo siku zote nitaendelea kumkubali na kufuatilia kazi zake!”

No comments:

Post a Comment

Kocha boraa Mara nne mfululizoooo EPL gurdiola

         @dullahots.blogspot.com Kocha wa Manchester City, Pep Guardiola ameweka rekodi ya kuwa kocha wa kwanza kutwaa tuzo ya kocha bo...