Powered By Blogger

3.10.17

Neymar aumia kidole


Mshambuliaji wa Brazil, Neymar ameumia kidole akiwa katika mazoezi ya kikosi hicho
dulahots.blogspot.com. 

Brazil inajiandaa kuivaa Bolivia na Chile katika mechi za kuwania kucheza Kombe la Dunia, Hata hivyo, Brazil wameishafuzu. 

Imeelezwa Neymar anayechezea PSG ya Ufaransa ameumia lakini si kwa kiwango kikubwa cha maumivu.

No comments:

Post a Comment

Kocha boraa Mara nne mfululizoooo EPL gurdiola

         @dullahots.blogspot.com Kocha wa Manchester City, Pep Guardiola ameweka rekodi ya kuwa kocha wa kwanza kutwaa tuzo ya kocha bo...